Nicki Minaj Apewa Kiatu Ambacho Bado Hakijaingia Sokoni,Ndio Wakwanza Kukijaribu.

Amekuwa kwenye vichwa vya habari kwa muda sasa baada ya video ya wimbo wake wa Anaconda kuweka rekodi mpya ya kutazamwa na watu milioni 19.6 kwa saa 24 tu. Hivi karibuni kwenye show yake Nicki Minaj amevaa kiatu cha mbunifu Giuseppezanotti ambacho bado kipo kiwandani kwenye matengenezao.Minaj anaweza kuwa mtu wa kwanza kujaribu matumizi ya kiatu hichi.  
minaj 2minaj
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment