Huku taarifa tofauti zikienea kuhusu usajili mkubwa wa Angel Di Maria
kutoka Real Madrid, Leo Manchester United imecheza na Sunderland kwenye
English Premier League na kutoka sare ya mabao 1-1. Wachambuzi wa soka
wanasema ujio wa Louis van Gaal lipigiwa mahesabu kuwa Man United
walitakiwa kwa sasa wawe na Point sita na sio moja waliyonayo sasa.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment