Mtayarishaji wa muziki mkongwe duniani Dr Dre amezungumza kwenye
mahojiano na jarida la XXL kuhusu kukamilisha album yake aliyosema ni ya
mwisho album ya Detox. Dre anasema anatumia muda mwingi studio huko
mjini Detroit na rapper Eminem ilikukamilisha album hii mapema
iwezekanavyo. Dre anasema anatumia nguvu nyingi sana nje na ndani ya
studio kukamilisha hii album iliamalizane na nja ya mashabiki. Ni miaka
kumi sasa toka Dr Dre azungumzie album ya Detox ila mpaka sasa kazi
zilizotoka ni chache ikiwemo Kush ,I Need A Doctor Ft Eminem na Under
Pressure Ft Jay Z.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment