Kiungo wa Chelsea Juan Mata amesajiliwa na
klabu ya Man Utd kwa dau la paundi mil 37. Mata anatarajiwa kufanya
vipimo kabla ya kutambulishwa rasmi kwa mashabiki wa klabu hiyo. Taarifa
kutoka DailyMail zinasema kocha wa
Chelsea Jose Mourinho ameshasaini makataba wa kumuuza mchezaji huyu
kwenda Man Utd licha ya kuwa mashabiki wa Chelsea hawajapendezwa na
kuuzwa kwa mchezaji huyu.
Mata anatarajia kutambulishwa wikiendi hii na ataweza kucheza mechi yake ya kwanza akiwa na United dhidi ya Cardiff City siku ya jumanne.
Mata anatarajia kutambulishwa wikiendi hii na ataweza kucheza mechi yake ya kwanza akiwa na United dhidi ya Cardiff City siku ya jumanne.
0 comments:
Post a Comment