Taarifa rasmi ya kombe la Dunia

Kombe la Dunia tayari limetua jijini Dar es Salaam ambapo limepokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere na kutolewa kwa msafara wa magari 10 aina ya Hyundai. Watanzania watapata fursa nyingine ya kuliona kombe hilo hapo kesho katika Uwanja wa Taifa jijini Dar kuanzia saa 3 asubuhi,katika taarifa za mwanzo zilizotoka ilikua kuliona jioni ya leo kwa wakazi wa Dar es salaam kisha kombe kuelekea Mwanza.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment