Kombe la Dunia tayari limetua jijini Dar es Salaam ambapo
limepokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere na
kutolewa kwa msafara wa magari 10 aina ya Hyundai. Watanzania watapata
fursa nyingine ya kuliona kombe hilo hapo kesho katika Uwanja wa Taifa
jijini Dar kuanzia saa 3 asubuhi,katika taarifa za mwanzo zilizotoka
ilikua kuliona jioni ya leo kwa wakazi wa Dar es salaam kisha kombe
kuelekea Mwanza.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment