Baada ya tukio la
kuharibikiwa na kivazi chake akiwa jukwaani hivi karibuni, Mwanadada
Toni Braxton hatimaye amezungumzia tukio hili na kukiri kuwa, kiukweli
alijisikia vibaya/kuaibika lakini kutokana na uwezo wake mkubwa
alifanikiwa kuweka mambo sawasawa.
Toni Braxton amesema kuwa kwa nafasi yake aliweza kufanya tukio hili kuwa sehemu ya show na aliona kuendelea na show ni kitu cha muhimu zaidi, na angejua angepandisha bei juu zaidi bei ya tiketi za show hii.
Braxton amesema kuwa alikuwa na bahati vile alikuwa ana kivazi kingine ndani na pia kivazi chake kilichozingua hakikukatika chote na kudondoka kabisa.
Toni Braxton amesema kuwa kwa nafasi yake aliweza kufanya tukio hili kuwa sehemu ya show na aliona kuendelea na show ni kitu cha muhimu zaidi, na angejua angepandisha bei juu zaidi bei ya tiketi za show hii.
Braxton amesema kuwa alikuwa na bahati vile alikuwa ana kivazi kingine ndani na pia kivazi chake kilichozingua hakikukatika chote na kudondoka kabisa.
0 comments:
Post a Comment