ROSE NDAUKA AANIKA MAJIBU YA UKIMWI

Rose alitundika picha ya cheti alichopima ugonjwa huo katika Hospitali ya TMJ, jijini Dar kwenye mtandao wa kijamii kuonesha kuwa yupo safi na hana maambukizi ya Ukimwi.
Baada ya kutundika picha ya cheti hicho, staa huyo alisindikiza na ujumbe wa maneno kuonesha shukrani zake kwa Mungu.
“Namshukuru Mungu kwa kuwa nimepima na nipo fiti, hope waliokuwa wakinisema watabaki na vijiba vyao vya roho, watasonyaje?” aliandika.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment