Rose
alitundika picha ya cheti alichopima ugonjwa huo katika Hospitali ya
TMJ, jijini Dar kwenye mtandao wa kijamii kuonesha kuwa yupo safi na
hana maambukizi ya Ukimwi.
Baada ya kutundika picha ya cheti hicho, staa huyo alisindikiza na ujumbe wa maneno kuonesha shukrani zake kwa Mungu.
“Namshukuru Mungu kwa kuwa nimepima na nipo fiti, hope waliokuwa wakinisema watabaki na vijiba vyao vya roho, watasonyaje?” aliandika.
Baada ya kutundika picha ya cheti hicho, staa huyo alisindikiza na ujumbe wa maneno kuonesha shukrani zake kwa Mungu.
“Namshukuru Mungu kwa kuwa nimepima na nipo fiti, hope waliokuwa wakinisema watabaki na vijiba vyao vya roho, watasonyaje?” aliandika.
0 comments:
Post a Comment