Wasanii wa P-Square
kupitia account ya Instagram ya peter okoye, wameweka picha ambazo
zinawaonyesha wakiwa katika Club ya Ma-Strippers (Wanawake Wanaocheza
Uchi) katika kile kinachoaminika kuwa moja ya njia za kujipooza na
kujiburudisha baada ya kazi nzito ya kuwatumbuiza watu huko Marekani.
Kutoka kwa picha hizi ambazo zinawaonyesha wakizitumbua pesa walizozitolea jasho kihalali, kumezuka maoni mengi na mitazamo tofauti kutoka kwa mashabiki wa wasanii hawa... ambapo pia wewe kama mmoja wao unaweza kuona hapa na kutoa mtazamo wako.
Kutoka kwa picha hizi ambazo zinawaonyesha wakizitumbua pesa walizozitolea jasho kihalali, kumezuka maoni mengi na mitazamo tofauti kutoka kwa mashabiki wa wasanii hawa... ambapo pia wewe kama mmoja wao unaweza kuona hapa na kutoa mtazamo wako.
0 comments:
Post a Comment