Hivi ndivyo
'mnyamwezi', Diamond Platinumz alivyojipanga kutoa kazi yake mpya ambayo
mpaka sasa mitaa inakodoa macho kuona itakuwaje.
Video hii itaonyeshwa ka mara ya kwanza leo tarehe 29 katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, katika tukio ambalo linatarajiwa kuandika historia mpya katika ulimwengu wa burudani.
Video hii itaonyeshwa ka mara ya kwanza leo tarehe 29 katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, katika tukio ambalo linatarajiwa kuandika historia mpya katika ulimwengu wa burudani.
0 comments:
Post a Comment