Huwezi Kuamini, Hizi Ndizo Kazi Walizokuwa Wanafanya Mastaa Hawa kabla Ya Kuwa Maarufu

Whoopi Goldberg alikuwa anafanya kazi mortuary kusafisha watu waliokufa.


                                 Kanye West alikuwa afisa masoko msaidizi wa Gap.   
    Mariah Carey alikwishawahi kufanya kazi Saluni, alikuwa akifanya kazi za pembeni kama vile kufagia nywele, kupanga vitu na baadae kutengeneza nywele watu. 
    Nicki Minaji alikwishawahi kuwa Secretary, na pia aliwahi kufanya kazi katika msaada.
      P. Diddy, huyu aliwahi kufanya kazi El Torito, restaurant moja huko Mexico, na alikuwa akisafisha maeneo ya chooni.
     Rick Ross, kama ambavyo wengi wamekuwa wakifahamu, aliwahi kuwa Askari Magereza, na baada ya kukana kuwahi kufanya kazi hii kwa muda, hatimaye mtu mzima alilifikiria hili kwa busara na kukiri kuwa ni kweli aliwahi ku-hustle kwa kazi hii.
                                                                     


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment