Baada ya miezi sita ya Rihanna ameungana tena na mashabiki wake wanaotumia mtandao waInstagram.
Rihanna mwenye watu wanaomfuatilia instagram milioni 13amerudi instagram na kuweka picha yake ikiwa na ujumbe wa“Hellurrr #badgalback.”
Kurasa yake ilifungwa May 2014 baada ya kuweka picha zake akiwa kifua wazi zilizopigwa kwaajili ya jarida la ufarasa la Lui.Rihanna anatumia @badgalriri

Rihanna mwenye watu wanaomfuatilia instagram milioni 13amerudi instagram na kuweka picha yake ikiwa na ujumbe wa“Hellurrr #badgalback.”
Kurasa yake ilifungwa May 2014 baada ya kuweka picha zake akiwa kifua wazi zilizopigwa kwaajili ya jarida la ufarasa la Lui.Rihanna anatumia @badgalriri
0 comments:
Post a Comment