Msanii Sam Smith anaendelea kufanya vizuri baada ya kunyakua tuzo 4
kwenye tuzo za 19 za MOBO 2014. Msani huyu kutoka Uingereza ameshinda
Best R&B/Soul Act, Best Male Act na Best Song kupitia wimbo wake wa “Stay With Me” Rapper Eve ndiye aliyemkabidhi tuzo ya Best Album kupitia album yake ya In the Lonely Hour.
Home / Uncategories / Sam Smith Ang'ara Kwenye Tuzo Za MOBO 2014,Wimbo Wake Wa 'Stay With Me' Ulirudiwa Na Mtanzania Ben Pol
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment