Cristiano Ronaldo karibuni atakuwa YOUNG
MONEY CASH MONEY BILLIONAIRE ... kwasababu vyanzo vya habari vimeiambia Qper
sports kuwa Lil Wayne anaanzisha kampuni yake mwenyewe itakayo kuwa iki manage
sports na Roonald ndo atakae kuwa mteja wake wa kwanza.
Chanzo hicho cha habari kinadaikuwa
Weezy kitambo amekuwa akitaka kujiingiza katika game ya sports management na
macho yake yote yalikuwa kwa mkali kutoka portugak Cristiano Ronaldo na si tu
kwasababu ni nyota mkubwa katika michezo lakini pia ni kwasababu ni marafiki
wakaribu tu.
Inasemekana kuwa kampuni ya Weezy
itakuwa ikifanya kazi na POLARIS SPORTS…kampuni ambayo ina uhusiano na shirika
la CAA pamoja na GestiFute ambazo zinaendeshwa na agent wa Ronaldo Jorge Mendes
Chanzo cha habari kiliendelea kudai
uwa kampuni ya Wayne itaanaglia na kusimamia maswala yote ya michezo
yanayomuhusu Ronaldo marekani kuanzia Branding mpaka kwenye upande wa masoko
pamoja na endorsement deals mpaka hata modeling.
Inaonekana Ronaldo amefurahishwa na
kufaya kazi na Wayne, bada ya ku post picha akiwa Waziri Mkuu wa Japan pamoja na
wanasiasa wengine na wote wakiwa waepoz na kutupia saini ya YMCMB
0 comments:
Post a Comment