Leo ikiwa ni siku ya pili,tukiwa nchini kenya,ratiba yangu ilianzia
hotelini kwenye gym kujiweka fit na baada ya hapo
mchana nilihitajika na media
mbali mbali za hapa kwa ajili ya kufanya
mahojiano,nilianza na kipindi cha Mambo mseto
cha Radio citizen chini ya Mzazi Willy Tuva...ambaye
alitaka kufaham mipango yangu kimziki
,next collabos,collabo na wanamzik wa Kenya
na kuhusu maisha yangu kwa ujumla lakini pia..nilijibu maswali yaliyoulizwa live
na wasikilizaji wa Mambo mseto
na wapenzi wa mziki wangu,...
Safari ikaanzia Hotelini
0 comments:
Post a Comment